Kuna kategoria kadhaa zinazojitokeza kutoka kwa mifummo tofauti ya kisheria kwa kila nchi na katika kipindi fulani. Huwa zinatumika na watu kikundi maalumu au mfumo mzima na hii huwezesha kutambua jamii tofauti za kisheria.Yaani kutokana na tamaduni ya kisheria ambayo mifumo ya kisheria huegemea tunapata jamii ya kisheria. Ingawa mfumo wa kisheria wa kitaifa ni wa jamii ya kisheria iliyopambanuliwa na wakati uo huo kuwa na mamlaka ya jamii, mfumo wa kisheria tofauti ya tamaduni za kisheria tofauti huweza kuwa.
Nchi ya Kanada ni mfano wa hali hii: mfumo wake wa kitaifa unatoka kwa sheria ya kitamaduni ilhali ule wa mkoa wa Quebec unatoka kwa tamaduni za Sheria inayohusu Raia. Mfano mwingine unaweza kupatikana miongoni mwa nchi tofauti za Amerika Kusini za watu asili na ambayo mfumo wa kitaifa unatoka kwa jamii ya Sheria ya Raia na vilevile katika eneo la mamlaka machache, hasa sheria asili za kikatiba kutumika katika masuala ya uchaguzi pia.
Kwa hakika, zipo jamii kadhaa za kisheria zinazotokana na mchipuko mmoja, kutoka kwa asasi sawa, kwa kodi ya lugha sawa au dhana sawa, kutoka kwa usawa mchipuko wa sheria, kwa utendaji na mbinu zinazotumiwa na wanasheria, pamoja na kutoka kwa kanuni sawa za kifilosofia kiuchumi au kisiasa zinazoeleza kila mfumo wa kisheria.
Kutambua jamii ambamo kila mfumo wa kisheria wa taifa unatoka ni muhimu ili kupanua mtazamo wa asasi au shughuli ya uchaguzi kwa kurejelea uchunguzi,pamoja na kupata maelezo zaidi na makadirio ya kuaminika ili kuelewa tofauti kati ya kila mfumo wa kisheria.
Kwa kuwa kila utafiti hutilia maanani jamii ambayo mfumo umetoka na miktadha ya kitamaduni, kiuchumi, kisiasa na kijamii, tafsiri ya istilahi haitakosa uhakiki ama kujiendesha, iwe ni kukataa mfumo wa kisheria au la, katika uchunguzi, kuelezea au kuelewa asasi fulani za uchaguzi za nchi ama mbinu, au michakato ya uchaguzi ya nchi.
Jamii za Kirumi-Kijerumani, Kirumi- Kikaniki au zile za sheria kuhusu raia zina mchipuko wao katika sheria ya Kirumi (meza kumi na tisa, corpus Iurius Civile na Corpus Iuris Canonici) na iliathiriwa kwa kiwango kikubwa na sheria ya Canonic. Pia, imesaidika na michango ya watoa maoni na kazi ya wanasheria wa vyuo vya Latini-jerumani. Kwa njia hii ius commune ilibuniwa. Baadaye kupitia shughuli ya kupata kodi, ambapo kodi kadhaa za kibiashara, kihalifu na kitaratibu ziliundwa, kupitishwa kwa kufuata sheria za kitaifa na kufikia kwa kubuniwa kwa katiba. Kwa jamii kama hii, Kubuniwa kwa sheria za kiraia na kupata kodi za kisheria kwa kurejelea haki na usawa kulipendelewa. Kwa pamoja eneo la Skandinavia, Amerika Kusini na baadhi ya nchi za Afrika ambazo zilikuwa himaya za kikoloni za Ulaya zotae kimsingi zipo katika jamii hii ya kisheria.
Katika karne ya kumi na moja, kuliibuka sheria ya usawa wa kifamilia katika Uingereza.Tamaduni hii ya kisheria imeenea katika nchi nyingi zinazowasiliana kwa lugha ya kiingereza. Inatambulika kwa kupendelea sheria zinazochipuka kutokana na maazimio ya kimahakama. Kwa upande mwingine mfumo huu hufuata vigezo vya kimahakama ambavyo kupitia hivyo kesi mahsusi hupata suluhu ya kisheria sawa na ya awali iliyo sawa nayo. Hivyo basi, kinyume na jamii zinazopendelea uundaji wa sheria, sheria ni zao la kazi ya jaji. Kimsingi, Uingereza, Marekani, baadhi ya nchi za Afrika, mataifa ya KiMarekani na nchi za bahari zilizoko katika mfumo wa kisheria wa jumuiya ya madola ziko katika jamii hii ya kisheria. Nchi nyingi hapa hutekeleza Sheria ya Waingereza na hutambua mtawala wa Uingereza kama kiongozi wa jamhuri.
Kwa kuwa nchi hizo hazina tamaduni sawa za kiuongozi, mifumo ya kidini haiundi jamii ya kisheria. Kipengee ambacho kinawaunganisha tu ni hali ya kidini na kifilosofia cha sheria, pale ambapo sheria na dini ni kama kitu kimoja. Katika mifumo tofauti iliyoko katika jamii hii kanuni za kudhibiti tabia inajikita katika masuala kadhaa kama ilivyo katika sheria za Kihindi na KiBrahma zinazotumiwa katika maeneo mengi nchini India ama sheria ya Kiebrania, inayohifadhiwa na jamii za Wayahudi walioko katika nchi nyingi.
Hata hivyo, zipo nchi nyingi ambazo wananchi wake wengi ni waumini wa dini ya Kiislamu na huzingatia kwa pamoja tamaduni za kisheria na utamaduni, hivyo basi inawezekana kuwajumuisha katika jamii ya Kiislamu. Kila sehemu ya sheria imetawaliwa na hadhi ya Nchi husika. Chimbuko lake lilikuwa katika karne ya VII, kipindi ambacho Mohamed aliandika Korani, kitabu ambacho kanuni na sheria zinazotawala mashirika ya kijamii na kidini ya waislamu (Kimsingi walioko Kaskazini mwa Afrika, Mashariki ya Kati, Asia ya Kati na Kaskazini mwa bahari) yalimo.