Katika hali iliyoko ya maendeleo ya mfumo wa kidemokrasia, chaguo tofauti za mfumo wa uchaguzi sio mbadala wa kimsingi wa pekee ulioko kwa wale waliopewa jukumu la kupanga na kuunda sheria za uchaguzi.
Mambo mengine yanayorejelewa ni:
- uchaguzi wa kuteua maeneo bunge;
- uchaguzi wa kuteua mfumo;
- ikiwa mipaka ya kisheria inapaswa kuwapo au la;
- njia thabiti ya kuonyesha au kudhihirisha kura.
Isitoshe, chaguzi zisizo za moja kwa moja na vyombo ambavyo nusu vinadhihirika na nusu havidhiriki huweza kukubalika kama viteuzi vya kukubaliwa; hata hivyo, vidhibiti hivyo kwa kura, vinavyoichukulia kuwa si ya watu wote bali ni ya watu mahususi, na vilevile uchaguzi usiokuwa na ushindani na usawa hazipaswi kuwa.
Kwa upande mwingine, ni muhimu kutambua kuwa hata kujua kuwa tamaduni za kimahakama na ambazo huunda taratibu za kisheria hakutegemei mpango wa taratibu zake na hivyo basi haipaswi kuwa kibadala cha kimsingi, sehemu yake katika mada hii hutokana na umuhimu wake kimuktadha.
Vijesehemu mbalimbali Katika Sura hii:
- Tamaduni tofauti za kisheria
- Mifumo ya kiserikali na kisiasa
- Vyombo vya kisheria
- Shughuli ya kubuni na kufanya marekebisho