Mradi huu wa kiulimwengu kuhusu elimu kwa Wapigakura na kwa raia umefikia kiwango ambacho kutokana na mawimbi ya juhudi za misingi ya kimataifa, ni vigumu kutenganisha ushirikiano wa jadi ya Kusini na ule wa Kaskazini.
Kwa hakika wingi wa majaribio na uvumbuzi wa elimu ya raia na elimu ya Wapigakura inatekelezwa na asasi za kinyumbani za mataifa ya Kusini katika baadhi ya maeneo ulimwenguni, kazi hii inafadhiliwa na bajeti ya kitaifa na fedha za pamoja za wenyeji, lakini sehemu kubwa bado inafadhiliwa na msaada wa maendeleo ya kimataifa.
Hata hivyo, kuna ongezeko la idadi ya demokrasia iliyokita kwenye maeneo na fedha za uchaguzi, mengine yako kwenye mikono ya kibinafsi na mengine yameandikwa kwenye ushirikiano baina ya mataifa.
Mbali na jaribio la kuunda njia za kinyumbani za kupata fedha, mapishano ya uwezo wa kiakili kupitia uchunguzi wa uchaguzi, kubadilishana mikakati bora pamoja na uhamiaji wa wasomi, wafanyikazi wa mashirika yasiyo ya kiserikali, watumishi wa raia na wasimamizi wa uchaguzi, imemaanisha kwamba ushirikiano wa kimataifa wa elimu ya raia na usaidizi wa uchaguzi si njia rahisi ya rasilimali kutiririka kutoka Kaskazini hadi Kusini.