Waelimishaji wanayonuia wamepata ujumbe unaoridhisha kuhusu mada wanayonuia kushughulikia wanapaswa kujenga mtazamo wa jumla kuhusu mikakati yao. Mtazamo huu wa jumla au mkakakati hutoa sehemu inayoweza kutumika ambapo malengo ya elimu yanaweza kujengwa na vielelezo vinavyofanya kazi kutambuliwa.
Hata pale ambapo kuna ukabwela wenye nadharia, iwapo muelimishaji ana wajibu wa Habari kwa Wapigakura, Elimu kwa Wapigakura, au Elimu kwa Raia, kunazo tofauti kati yao. Tofauti hizi ndogo hujadiliwa katika sekta kuhusu Mawazo na Maelezo ya Kimsingi kuhusu Ujumbe kwa Wapigakuru, Elimu kwa Wapigakura na Elimu kwa Raia ni sekta inayohusu masuala yanayopaswa kushughulikiwa katika mkakati wa jumla.
Kwa sababu neno’elimu’ limekuwa na maana nyingi na tofauti nyingi, inafaa kuwa na mtazamo usiobagua kuhusu elimu ya mpiga kura kama shida ya kuwasiliana – ujumbe unaundwa na kuwasilishwa kwa walio na haja ya kuupokea. Elimu ya mpiga kura na sheria kwa kweli ni majasiri wa elimu, bila ya kujali mazoea ya shida ya mada yenyewe. Zote mbili zinawahusisha watu, ujuzi, tajriba na uwezo na matokeo katika uelimishaji, kuelewa na mabadiliko duniani na tabia za kibinafsi.
Ni muhimu waelimishaji kudhukuru, mkakati wa elimu wanayotaka kutwaa katika mradi wote. Mkakati bayana unawawezesha kuleta pamoja zana zinazohitajika kwa njia zinazokidhi gharama na kuwasilisha mbele ya hadhira kubwa ya wasomi, washikadau, wenzi na watu binafsi ambao wanaweza kuwa na mwigiliano na mradi huu.
Sekta hii inashughulikia mikakati ya elimu kwa watu wakubwa. Pale ambapo kuna mahitaji ya darasani, kuna miradi ya elimu ya kitaifa ambayo inahitajika katika mataifa ambayo yana mipango ya kujenga na kuhimili demokrasia. Eneo la mada hufungua uwezekano kuwa nchi zote zinaweza kudhukuru suala hili kama sharti la muhimu kwa demokrasia.
Ili kutoa ujumbe ili kusaidia katika ujenzi wa mkakati wa elimu, sekta hii inazingatia Nadharia ya Kielimu, njia za kupanga (tazama Mpangilio), mbinu mbalimbali mbadala (tazama Uteuzi wa Mbinu), na suala la uhusiano baina ya ujenzi wa ujumbe na mahitaji ya kielimu(tazama Ujenzi wa Ujumbe) na uvumbuzi wa mtalaa.