Waelimishaji wafanyao kazi na wazee wanapaswa kuelewa utamaduni na desturi za kijamii za watu binafsi na makundi ya watu wanaofanya kazi nao. Kwa mara nyingi watapaswa kuelewa watu binafsi na jamii ambayo mtu hutoka na mtu anakokwenda.
Huenda ikawa ukweli kuwa elimu hubadilisha uhusiano ambao watu wanao katika jamii. Huenda ikatarajiwa kuwa watu watabadilisha jamii pale ambapo elimu ya upigaji kura huambatana na elimu ya kisheria. Uwezo huu huongeza nafasi za waelimishaji kudhukuru na kuongoza athari za utamaduni na jamii katika kupanga na kutekeleza programu za kielimu. Mazingatio haya yatahusisha azimio la jinsi muelimishaji atakavyopambana na desturi na maana yanayofanyiwa mzaha kulingana na makundi mbalimbali ya watu na mitazamo mbalimbali.
Mifano
Huenda kukawa na miiko mbalimbali. Wanawake huenda wasiruhusiwe kuzungumza na wanaume wanapokuwa hapo. Huenda wanaume wengine wakawa viongozi kwa haki kutokana na asili hivyo basi kuchukuliwa kuwa na ujuzi wa busara nyingi na kuongea wa kwanza. Mitazamo kama hii italeta athari katika shughuli za kielimu, uchaguzi wa washiriki na maeneo ambayo shighuli hizi hufanyika.
Huenda hata kukawa na lugha tofauti za kijinsia au kifamiia, au maoni juu ya usasa leo au yanayoweza kujadiliwa kwa uwazi kwa jamii nzima. Na huenda kukawa na maoni ya waelimishaji na majukumu yao na tabia zinazotarajiwa. Katika makundi haya ya kukutana ana kwa ana, huenda ikaonekana yenye kukosa heshima au ikafungamanishwa na dhukuru za hali. Waelimihsaji huenda wakakosa kuelewa tabia hii kama kukosa hamu.
Hizi ni mifano midogo tu ya baadhi ya uamuzi wa maisha unaofanywa na unaofanya watu wanaojaribu kuelewa maisha huku wakipata uzoefu wa maisha. Maamuzi mengine huenda yakakwamishwa ili waliohusika wasizingatie. Lakini huenda zikawa na umuhimu mkubwa kwa wanaozichukua na haziwezi kutupiliwa mbali. Wasiohusika huenda wakaitikia ishara zinazoleta maana kwao kutoka kwa asilia zao lakini zisizokuwa na mwelekeo katika maongezi ya kijamii yanayofanyika ndani au nje ya shughuli za elimu.
Kwa hivyo waelimishaji watakuwa wakijaribu kuunda mipango na watu wanaoelewa athari za uingiliaji kati wa elimu. Watu hawa huenda wakachagua kujionyesha kwa jamii. Lakini wana uwezekano wa kufanya hivi na ujuzi wote wa athari na umbali wa pale wanapoweza kufanya kazi hizi bila kuharibu umuhimu wa programu hii. Programu za kielimu huenda yakazipa desturi hizi chamgamoto au huenda yakazituhumisha lakini uwiano utakuwa mzuri. Bila shaka, kutakuwa na wale watakaonufaika kutokana na mahusiano yaliyopo ya uongozi katika jamii na wanaweza kuwa wakitumia maelezo ya kitamaduni ili kushikilia mamlaka.
Hakuna pengine popote ambapo hili ni dhahiri zaidi kushinda uhusiano tepetevu uliopo katika jamii nyingi kati ya uongozi wa kitamaduni na asasi za kidemokrasia, na katika wajibu wa wanawake na matatizo yanayoambatana na kunyimwa kwao haki pamoja na uwezeshwaji unaohimizwa. Ingawa mwelimishaji wa wapigakura atakuwa na ufahamu kuhusu haja ya kuhakikisha kwamba demokrasia inajumuishwa katika utamaduni wa nchi inayojenga demokrasia ya uchaguzi, huku kwa wakati huo wakielewa kwamba inaweza kuwa ikisababisha mabadiliko katika nchi au jamii hiyo.